[In Engish]
this website is established
by Mbewa,Jackson with he Aim of helping
to develop the Artistic
Activities which are done here in Tanzania
and to other countries Across East Africa.
As there are many Arist
whom are performing their artistic work and
their works are not known
to their fellow Tanzanians
and Even to people
out of Tanzania boundary,
so this is the website which
intends to publish
all artistic activities which
are done by East African,
in order to make
their Talents to be known by People who likes Arts!
[kwa kiswahilli]
Tovuti hii imeanzishwa na Jackson Mbewa kwa lengo la Kuibua Na Kuendeleza
Shuguli za Kisanaa Tanzania na kwa Nchi nyingine za Afrika Mashariki.
Kwakuwa kuna Wasanii wengi ambao wanafanya kazi zao za kisanaa lakini mpaka
sasa hazijulikani na watanzania wenzao, Hivyo Tovuti hii imedhamiria kuziweka
kazi za Wasanii hao kwenye Mtandao ambapo kazi zao zitakuwa zinajulikana kote duniani.